Exodus 6:3
3 aNilimtokea Ibrahimu, Isaka na Yakobo kama Mwenyezi Mungu, ▼▼ Mwenyezi Mungu hapa ni jina la Kiebrania, El-Shaddai (yaani Mungu Mwenye utoshelevu wote).
ingawa sikuwajulisha Jina langu, Yehova, Mimi mwenyewe sikujitambulisha kwao.
Copyright information for
SwhKC